Tuesday, May 15, 2012

Raul atua Al Sadd-Qatar

Raul Gonzalez ''Blanco'' ametua katika klabu ya Al Sadd ya Doha,Qatar. Mwanasoka huyo mkongwe wa Hispania bado ameendelea kuvaa jezi namba 7. Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 34 aliyewika katika klabu ya Real Madrid, ametua timu hiyo akitokea Schalke 04 ya Ujerumani, aliyoichezea kwa misimu miwili.

Scholes to play on another season

Manchester United midfielder Paul Scholes will play on for another season, the Premier League club's manager Alex Ferguson said on Monday.
The 37-year-old former England international quit at the end of the 2010-11 campaign but came out of retirement in January and played a key role in helping United finish second in the Premier League behind Manchester City.
Despite playing only half the season, Scholes finished third in the vote for England's Footballer of the Year, behind Arsenal striker Robin van Persie and United teammate Wayne Rooney.

Jennifer Hudson Takes In A Roller Coaster Ride After Brother-In-Law Convicted Of Family Murders

J Hud is about that roller coaster Life!
This past weekend, Jennifer Hudson and her fiance David Otunga visited Six Flags Great America in Chicago to relax and release after her brother-in-law William Balfour was convicted of killing her mother, brother and nephew in court.  On Friday, William was found guilty on all counts of murder as well as home invasion, armed robbery and kidnapping and faces mandatory life in prison. Jennifer broke down as the verdict was read, however, she was able to get some smiles in the next day at the theme park.  A family friend tells The Chicago Times:
Going to Great America was a great idea — a way for Jennifer, her sister and [fiancé] David [Otunga ] to blow off some steam and release the horrible tension they’ve been dealing with for so many months.
They also added that J hud and David are looking forward to putting the trial behind them and planning their wedding and future:
news from( necole blog)

JOSE CHAMELEONE CONFIRMS PERFORMING @ THE LONDON 2012 OLYMPICS...!!!





JK azindua Libeneke jipya la CCM mjini Dodoma




Mwenyekiti waChama Cha Mapinduzi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Wapili kushoto ni katibu mwenezi wa CCM Nape Moses Nnauye,Watatu kushoto ni Makamu wa CCM bara Pius Msekwa, Wanne kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Bwana Wilson Mukama na viongozi wengine waandamizi wa Chama.
 Libeneke la CCM linalokwenda kwa link hii http://www.ccmchama.blogspot.com/ Muonekano wa Tovuti ya CCM iliyozinduliwa mjini Dodoma jana jioni na Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.
  
Waweza itembelea kwa Link Hii http://www.ccm.or.tz/


Monday, May 14, 2012

Dr Phil reaches out to morbidly obese 23-year-old who posted desperate plea for help on YouTube

A video plea by a morbidly-obese 22-year-old has earned him the help of television personality Dr Phil.
The man, named Robert Gibbs, who weighs between 600 and 700 lbs., attracted the attention of specialists since he made a YouTube video five days ago.
In the video, which has now been viewed nearly 900,000 times, the California native reveals his fear that he will die before his niece and nephew grow up.
Dr.Phil

Robert said,
'I'm making this video because I don't know what else to do.
'I've tried losing weight on my own, tried doing everything possible, been on diet, been hospitalised, always done what needed to be done, but then, I gained the weight back.
The 23-year-old lives with his mother, sister, and her two children in Livermore, California outside of Oakland.
His sister, Nichole Gibbs, said that she didn’t know her brother was making the video until reporters began calling to interview her.
‘I'm happy he's doing this and he's getting a lot of feedback on it,’ she told Mercury News.
‘It's going to help him, and I'm glad for that.’
In the 3-minute video, Mr Gibbs says that he has tried diets and hospital treatments to help him lose weight but nothing has worked.
‘'I'm just trying to get some help from somebody, a nutritionist, a personal trainer, Dr Phil, Biggest Loser, anything or anybody who knows.'
And that he did, as alumni of the show The Biggest Loser have also reached out and offered encouragement.
Mr Gibbs asked viewers to post the clip to improve his chances of finding an expert to help him.
He says: 'Please repost this video, get it to go viral, get it to be one of the most watched videos ever, eventually someone will see it and then maybe I can get some help.
'For anybody who is going to make fun of me, I really don't care. This is my last hope.
'I'm really scared that I'm not going to be able to watch my niece or my nephew grow up, and I'm not going to be able to have a family of my own.
'I'm asking for somebody's help. That's all I can really say, it's from the heart.'
Dr.Phil his on action helping Robert at the moment and we hope Gibbs dreams came true.

R.KELLY- SHARE MY LOVE


FULL MATOKEO YA PREMIER LEAGUE


KANYE WEST AND KIM KARDASHIAN AT THE COURTSIDE...

Kim Kardashian and Kanye West were spotted courtside at a basketball game on Saturday night, putting on a public display affection (PDA) show.
The new loved-up couple could barely take their eyes off each other as they sat front row at the LA Lakers play against the Denver Nuggets. Kim, dressed up to the nines in a black leather skintight dress, which her boobs were almost spilling out of, giggled as Kanye whispered sweet nothings in her ear.
Although at one point Kim, who eventually let loose her initially tied up hair , looked a little bored and was caught yawning while Kanye wrapped his arm around her shoulder and locked hands.
The couple have been dating for several weeks, despite Kim still going through divorce proceedings with Kris Humphries.
Kim will reportedly be flying into London on Tuesday to join Kanye as he prepares for his Watch The Throne tour dates with Jay-Z.

Big Brother Stargame Update: Maneta survives eviction, Liberia and Sierra Leone up for eviction

The first eviction show on Big Brother Stargame witnessed some unexpected twists as all nominated housemates from last week’s random nomination in the Downvile House were evicted from Downvile.
Zimbabwe’s pair of Teclar and Maneta was first to be asked to leave the house. Their fellow Housemates did not seem too gutted about the news and proclaimed “There are now 26 of us, more food for us..more drinks”. Maneta simply made a dramatic beeline for the Eviction doors, telling Julio not to touch her, as he reached for a hug. She was quick to leave the house while her partner took her time to bid her farewells and to beat Big Brother’s countdown.  Teclar told host, IK that she didn’t want to talk but when asked if she had a thing for Seydou she was quick to explain that she didn’t have any romantic feelings for Seydou or any other person in the house.  She added that it was particulary tough for her to find out that she had been nominated for eviction only minutes after entering the house.
Just as Julio and the bubbly Hilda from Tanzania were getting ready to celebrate their survival, IK announce that they also had to leave the house. The announcement sparked speculations as housemates tried to figure out what was happening. Julio told IK, “This is crazy, don’t know what’s going on”. Hilda said she was in shock and pain when she found out she was up for eviction moments after entering the Big Brother House.
IK then received the envelope with the week’s result and told Maneta to head into the posh Upville House to now compete as an individual while her partner Teclar together with Julio and Hilda went back home.
Soon IK made a call into the Downville House to make another random nomination. Unfortunately, the debutant countries, Sierra Leone and Liberia came up for eviction. This means that the housemates up for eviction are Luke and Yadel from Liberia and Dalphin and Zainab from Sierra Leone. Africa must now vote for which housemate and not group they want to save.
Here’s how Africa voted this week :
Angola: Julio
Botswana: Maneta
Ghana: Hilda
Kenya: Maneta
Liberia: Hilda
Malawi: Maneta
Namibia: Maneta
Nigeria: Hilda
South Africa: Maneta
Sierra Leone: Hilda
Tanzania: Hilda
Uganda: Hilda
Zambia: Maneta
Zimbabwe: Maneta
Rest of Africa: Maneta
Total: Hilda = 6; Julio = 1; Maneta = 8; Teclar = 0 (Total: 15 Votes)

Saturday, May 12, 2012

Crazy GK, MwanaFalsafa na AY Katika Project Ya Pamoja

Wanamuziki hawa waliokuwa wanaunda kundi la East Coast Team {E.C.T] lililotamba sana na Track zake kama Hii Leo na zingine kwa pamoja likiwa na maskani yake Upanga, Dar Es Salaam kwa sasa wanafanya Project ya pamoja katika kuendeleza sanaa ya muziki wetu hapa Tanzania.
Kwa tetesi za fasta kutoka kwa msongo team project inanukia na very soon tutapata full data kusu kinachopikwa na wanajeshi hawa...

LOOKING FORWARD TO TYLER PERRY'S "MADEA'S WITNESS PROTECTION"...!!!



Obama aunga mkono ndoa za jinsia moja

Rais Obama anasema amejadili suala hilo na familia, marafiki na majirani kwa muda mrefu na kutilia maanani wafanyakazi wenzake na askari ambao wamejikita katika uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja .Rais Obama ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na idhaa ya kiingereza ya BBC.Hatimaye amekuja na hitimisho kwamba ndoa zilizozoeleka hazikidhi matarajio ya wote.
Mpinzani wake katika uchaguzi wa rais wa mwaka huu, Mitt Romney, wa chama cha Republican amesema bado anabakia kupinga ndoa za watu wa jinsia moja.
Amesema wakati akiunga mkono ndoa ambazo hazijatambuliwa kisheria, kwa maoni yake, suala la ndoa za kawaida ni jambo lingine tofauti na hizo ndoa za jinsia moja.
Kauli ya Bwana Obama, imekuja siku moja baada ya jimbo la North Carolina kupitisha mabadiliko ya katiba ya jimbo hilo, yanayofafanua kuwa ndoa ni muungano tu kati ya mwanaume na mwanamke.

JINSI GARI LA TP MAZEMBE LILIVYOVAMIWA HUKO SUDAN.






Airtel Yatoa Msaada wa Madawati na Mipira kwa shule za Msingi za Maarifa, Mwangaza na JICA zilizopo Gongolamboto Jijini DSM

Mchezaji wa zamani wa Manchester United ya Uingereza Quinton Fortunewa pili kulia, akionyesha waandishi wa habari (hawako pichani) baadhi ya vifaa vya michezo vitakavyotumika kwenye michuano ya soka ya kimataifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars jana kwenye Hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam. Kati ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technologia Mh. Professa Makame Mbarawa, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mashindano wa TFF Sandy Kawembe, Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Sam Elangallor na Mkurugenzi Bidhaa Airtel Afrika Obina Justine 

mchezaji wa zamani wa manchester united Quinton Fortunewa akionesha manjojo ... 

 Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United ya Uingereza Quinton Fortune, akifurahia na wanafunzi wa shule ya Msingi ya Maarifa baada ya kukabidhi madawati 30, mipira 40 na jesi seti tatu zilizotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania

 Msanii wa kizazi kipya Ambwene Yesaya maarufu kama AY,akitumbwiza katika hafla hiyo.

Friday, May 11, 2012

nyeti za mwanaume kung'ang'ania kwa mwanamke wa mtu

IT'S GETTING HOT IN HERE: 'KANYE WEST RAPS ABOUT MARRYING KIM KARDASHIAN'...!!!

Kanye West is prepping some new material: his vows.
One month after the Grammy winner professed his love for gal pal Kim Kardashian, 31, on his single "Way Too Cold" (formerly "Theraflu"), he's singing about her again, a source tells Us Weekly.
On an upcoming track by hip-hop artist Pusha T, West, 34, raps, "I saw you in the club in a white dress/Now I want to put you in a white dress."
The lyrics are hardly hot air, says a second source: "Kim and Kanye are 100 percent having conversations about marriage."
Kardashian and the rapper first stepped out as a couple in NYC in March, but an insider close to the duo assures Us their romance was years in the making.
West pursued Kardashian "for a long time" the source explained. Echoed another source, "They've been friends for years. Kim is ready to give it a try now."

MAKING OF THE SONG MBONI YANGU /FUNDRAISING SONG FOR BONGO ARTIST SAJUKI...

Peter msechu

ali kiba

viky kamata

mwana fa

prof jay

afande sele,amini,ditto
wema sepetu

na wengine kama Mh.Zitto Kabwe ,Halima Mdee ,Mzee yusuf ,Barnaba ,Chidi benz ,Mh.January makamba.....e.t.c