Thursday, January 19, 2012

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Yatangaza Ajira kwa Walimu

Kwa waombaji wote waliomba nafasi za Ajira kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, majina yao yametangazwa kupitia tovuti ya Wizara hiyo-http://www.moe.go.tz

1 comment: