Monday, March 19, 2012

ANC Yamtimua Malema



Kiongozi wa mrengo wa vijana katika chama tawala cha ANC nchini Africa Kusini, Julius Malema, sasa ametimuliwa rasmi kutoka chama cha ANC baada ya rufaa ya kupinga uamuzi wa kutimuliwa kwake hapo awali, kutupiliwa mbali.
Kamati ya nidhamu ya chama cha ANC ilitoa uamuzi huo baada ya kusikiliza rufaa iliyowasilishwa na Malema dhidi ya kutimuliwa kwake chamani kwa kipindi cha miaka mitano kwa makosa ya kuleta mgawanyiko katika ANC.
Kamati hiyo ikiongozwa na kiongozi mkongwe na mfanyibishara Cyril Ramaphosa, iliangalia tena rufaa aliyokata Bw Malema na bado ikampata na makosa ya kukigawanya chama cha ANC pamoja na kukitia aibu.
Hata hivyo, Malema katika siku za awali ameelezea wazi kwamba atakata rufaa iwapo kamati hiyo itamsimamisha kujihusisha na shughuli za chama tawala cha ANC.
Bw Malema bado anaweza kukata rufaa katika kipindi cha miaka 14.
Julius Malema amekuwa akisisitiza kuwa anaonewa kwa sababu anataka chama hicho kutaifisha migodi ya nchi hiyo.
Pia anasema baadhi ya watu katika chama cha ANC hawamtaki kwa sababu anataka chama hicho kupata kiongozi mpya katika mkutano wake baadaye mwaka huu ili kuchukua nafasi ya Rais Jacob Zuma kuondoka

Muamba bado mahtuti


Bado anatibiwa katika kitengo cha wagonjwa mahtuti.
Meneja wa Bolton Wanderers, Owen Coyle, alisema anatumai matokeo yatakuwa mema kwa Fabrice Muamba, huku mchezaji huyo anaendelea kuuguzwa.
Coyle alisema hayo nje ya London Chest Hospital, ambako ndiko Fabrice anakotibiwa baada ya kuzirai wakati Bolton Wanderers wanacheza na Tottenham Hotspur kwenye uwanja wa White Hart Lane saa 12 magharibi.
Imejulikana leo kuwa matabibu wasaidizi hawakuweza kuufanya moyo wa kijana huyo wa umri wa miaka 23, kuanza kupiga tena wenyewe kwa karibu saaa mbili, baada ya kubanwa na moyo.
Bolton Wanderers wakicheza na Tottenham Hotspur kwenye robo fainali ya kombe la FA.
Coyle aliwaambia waandishi wa habari: "Tunatumai atapona"
Muamba alizaliwa Zaire (sasa inajulikana Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo) na alifika England akiwa na umri wa miaka 11.
Mchezaji huyo kabla ya kujiunga na Bolton Wanderers alitokea klabu ya Birmingham mwaka 2008 na amecheza mechi 148 katika klabu yake ya sasa.
Mashabiki wa timu zote mbili walikuwa wakiimba jina la Muamba wakati alipokuwa akitolewa uwanjani kwa machela.
Na Muamba alikumbukwa katika mechi zote zilizochezwa Jumapili.

Saturday, March 17, 2012

Steve Urkel Of Family Matters Back On Screen

 He first stole our hearts as the lovable snort-prone Steve Urkel in "Family Matters," and now, Jaleel White is set to make the world smile once again as he prepares to hit the ballroom on "Dancing with the Stars."

Friday, March 16, 2012

ALLIANCE FRANCAIS WOULD LIKE TO GIVE THANKS TO ITS FRANCOPHONIE WEEK SPONSORS..


BONGO MOVIE ACTRESS KAJALA TAKEN TO COURT....

HI NI BAADA YA KUKUTWA NA KOSA LA KUTENGENEZA FEDHA BANDIA MUNAMO MWAKA 2010,PIA MAKOSA MENGINE YALIBAINIKA ...MSONGO BLOG ITAENDELEA KUKUPA BRIEFING KUHUSU KESI YA KAJALA...

Thursday, March 15, 2012

Two Somali refugees were shot dead and a third was wounded by gunmen in Kenya's Dadaab refugee...


Two Somali refugees were shot dead and a third was wounded by gunmen in Kenya's Dadaab refugee camp, a spokeswoman for the UN refugee agency that runs the camp said Wednesday.
Dadaab, the world's biggest refugee complex, is home to 460,000 people, most of them Somalis fleeing two decades of civil war as well as drought and famine in their home country.
"We confirm that two persons died and one person got injured after a shooting in Ifo Camp in Dadaab last night at about 21:45 (1845 GMT)," the UN spokeswoman told AFP.
"Initial police investigations suggest that this was a revenge attack. Certain refugees were targeted and were shot and the perpetrators left without stealing or taking anything."
At the start of the year, two refugee leaders in Dadaab were gunned down within two days, one in Ifo and one in Hagadera camp. They were members of peace and security teams that cooperate with police and non-government organisations to ensure security in the camps.
Police suspected Somali Islamists were behind those attacks.
Security has become a major concern in the camps at Dadaab, particularly since last year, with most aid groups moving with armed escorts.
In October, two Spaniards working for Doctors without Borders (MSF) were kidnapped in the camp and taken to Somalia.

AIRTEL LAUNCHED 3.75G NETWORK...

Airtel marketing manager Mr.Salim Madati explains to media about the new upgraded 3.75G ,this service helps client to get the fastest internet services as possible..

NASSARI AOMBA KURA SOKONI TENGERU..

Mgombea ubunge jimbo la Arumeru,kupitia Chadema ameonekana leo katika soko la Tengeru akiomba kura kwa wananchi..

DISCO MALAPA OFFICIAL VIDEO...


ALLIANCE FRANCAIS BRINGS YOU FRANCOPHONE WEEK IN ARUSHA..


JAM NIGHT AT VELOCITY CLUB LEO..


MWAMUZI ISRAELI MAKONGO ALIVYO TWANGWA...



Wednesday, March 14, 2012

Do Birdman and Wayne resemble Prezzo and Cannibal


                                    Cannibal and Prezzo are now in one group called MMG

J.Cole To Perform At The Launch Of Big Brother "Stargame"



J Cole

J Cole birth name : Jermaine Lamarr Cole
J Cole born : January 28, 1985
J Cole origin : Germany
J Cole occupations : Singer
J Cole height : 190 cm – 6 ft 3 in
J Cole weight : 93 kg – 205 lb
J Cole age : 26
J Cole shoe size : 11
J Cole horoscope : Aquarius

Tuesday, March 13, 2012

Lionel Messi..what can't he do?


Jembe Tomas Rosicky Afufuka..

                                                  Finally...on that form,we always knew he had

Friday, March 9, 2012

BARAZANI
A monthly multicultural night at Alliance
WEDNESDAY 21 March
7pm-10pm, FREE!




                                        
Mchiriku / Mnanda
by Seven Survivor
       

A style of music that has been extremely popular around the poor areas of DSM, coastal and Morogoro regions.
           


Lizombe Dance
by Kisauni Sanaa Group




Popular traditional dance for Ngoni & Yao, Southern part of Tanzania




Slam Poetry
by Fataki group






A style of presenting social issues by a broad range of voices & styles



Acrobats Show
by Tosha Cultural Troupe






The group also performs Makonde Ngokwa Dance, a famous traditional dance in Mtwara



Music, video Mix & Cash bar
 

DJ CLEO PERFORMS IN DAR...10TH MARCH 2012...

VENUE:KIJITONYAMA POSTA GROUNDS...